Magufuli atangaza kuwa hakuna corona Tanzania, awaalika watalii
- Rais Magufuli amesema hamna haja kwa wananchi kuvaa barakoa kwa sababu ugonjwa wa corona haupo Tanzania
- Magufuli ameongezea kuwa nchi hiyo imeshinda vita dhidi ya virusi vya corona na kwamba Mungu aliyasikia maombi ya Watanzania
- Rais huyo sasa amewataka watalii wazuru nchi hiyo na amewakikishia kuwa watarejea makwao bila kuambukizwa virusi hivyo
Kwa mara ya pili Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ametangaza kuwa hakuna virusi vya COVID-19 nchini humu.
[Read More]